Swali: Kuhifadhi Suurah al-Mulk ni katika sababu za kumuokoa mtu siku ya Qiyaamah?
Jibu: Imetajwa katika Hadiyth, lakini ni sambamba na mtu kujiepusha na maasi. Hiyo ni sababu moja wapo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31224/ما-صحة-ان-سورة-الملك-منجية-يوم-القيامة
- Imechapishwa: 16/10/2025
Swali: Kuhifadhi Suurah al-Mulk ni katika sababu za kumuokoa mtu siku ya Qiyaamah?
Jibu: Imetajwa katika Hadiyth, lakini ni sambamba na mtu kujiepusha na maasi. Hiyo ni sababu moja wapo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31224/ما-صحة-ان-سورة-الملك-منجية-يوم-القيامة
Imechapishwa: 16/10/2025
https://firqatunnajia.com/suurah-al-mulk-ni-yenye-kuokoa-siku-ya-qiyaamah/