Swali: Maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Swalini kabla ya Maghrib Rak´ah mbili kwa anayetaka.”
Aliposema ´kwa anayetaka` alikhofia isije kuwa katika ngazi ya Raatibah?
Jibu: Alichelea wasije kufikiria kuwa ni lazima. Kwa sababu msingi wa amri ni ulazima. Aliposema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… kwa anayetaka.”
ikafahamisha kuwa sio lazima na kwamba inapendeza tu.
Swali: Ni lazima?
Jibu: Ni Sunnah iliyokokotezwa na yenye kudumu. Hata hivyo sio ya lazima.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22566/معنى-صلوا-قبل-المغرب-ركعتين-لمن-شاء
- Imechapishwa: 04/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)