Swali: Ni ipi hukumu ya imamu asiyegeuza kuliani wala kushotoni?
Jibu: Sunnah kwa imamu ni yeye akague kuliani na kushotoni na awahimize kusawazisha safu na wazibe upenyo na zianze kukamilishwa zile safu zilizoko mbele kwanza ili kupatikane nafasi katika zile zilizoko nyuma. Awazindue watu na asighafilike ili watu wazinduke kuifanyia kazi Sunnah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23739/هل-من-السنة-التفات-الامام-لتسوية-الصفوف
- Imechapishwa: 18/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)