Swali: Imamu akiswali Rak´ah mbili kisha akakumbushwa na akachelea wasitatizwe watu wasiokuwa na elimu na hivyo akawaambia kwamba ataswali Rak´ah mbili na atasujudu mara mbili ili asiwatatize.
Jibu: Aswali zilizobakia na hana haja. Yanatosha yale aliyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Asimame na aswali yale yaliyobakia na wala asiseme kitu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23738/حكم-امام-سها-وخشي-التلبيس-على-المصلين
- Imechapishwa: 18/04/2024
Swali: Imamu akiswali Rak´ah mbili kisha akakumbushwa na akachelea wasitatizwe watu wasiokuwa na elimu na hivyo akawaambia kwamba ataswali Rak´ah mbili na atasujudu mara mbili ili asiwatatize.
Jibu: Aswali zilizobakia na hana haja. Yanatosha yale aliyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Asimame na aswali yale yaliyobakia na wala asiseme kitu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23738/حكم-امام-سها-وخشي-التلبيس-على-المصلين
Imechapishwa: 18/04/2024
https://firqatunnajia.com/imamu-ameswali-kwa-rakah-pungufu-na-anachelea-asiwatatize-wajinga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)