Swali: Kuna bwana mmoja anaketi kwenye kiti cha magurudumu. Je, analazimika kumwajiri mtu ambaye atamsukuma ili aweze kuhudhuria swalah?
Jibu: Kinachonidhihirikia ni kwamba inafaa kwake kuswali nyumbani. Lakini akitarajia malipo ni sawa. Yuko na udhuru unaokubalika Kishari´ah. Hata hivyo akitarajia malipo ni kama alivosema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… wangeziendea ijapo kwa kutambaa.”[1]
Swali: Je, mtu anaweza kusema kwamba ambacho kinahitajika ili kukamilisha wajibu basi nacho kinakuwa wajibu?
Jibu: Naona kuwa hakumlazimu.
[1] Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalah nzito zaidi kwa wanafiki ni swalah ya ´Ishaa na swalah ya Fajr. Endapo wangelijua yale yanayopatikana ndani yake basi wangeziendea ijapo kwa kutambaa.” (al-Bukhaariy na Muslim)
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23731/هل-يلزم-المقعد-استىجار-من-يقوده-الى-الصلاة
- Imechapishwa: 18/04/2024
Swali: Kuna bwana mmoja anaketi kwenye kiti cha magurudumu. Je, analazimika kumwajiri mtu ambaye atamsukuma ili aweze kuhudhuria swalah?
Jibu: Kinachonidhihirikia ni kwamba inafaa kwake kuswali nyumbani. Lakini akitarajia malipo ni sawa. Yuko na udhuru unaokubalika Kishari´ah. Hata hivyo akitarajia malipo ni kama alivosema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… wangeziendea ijapo kwa kutambaa.”[1]
Swali: Je, mtu anaweza kusema kwamba ambacho kinahitajika ili kukamilisha wajibu basi nacho kinakuwa wajibu?
Jibu: Naona kuwa hakumlazimu.
[1] Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalah nzito zaidi kwa wanafiki ni swalah ya ´Ishaa na swalah ya Fajr. Endapo wangelijua yale yanayopatikana ndani yake basi wangeziendea ijapo kwa kutambaa.” (al-Bukhaariy na Muslim)
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23731/هل-يلزم-المقعد-استىجار-من-يقوده-الى-الصلاة
Imechapishwa: 18/04/2024
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-mkusanyiko-kwa-anayesukumwa-kwenye-kiti-cha-magurudumu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)