Swali: Nikisikia Qur-aan kwenye redio na msomaji akapitia Aayah ya sujudu nisujudu wakati yeye anaendelea na kisomo?
Jibu: Tutatendea kazi Sunnah na hivyo tusujudu. Yapo maoni mengine kinyume na hivo. Sioni wajihi wake.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 42
- Imechapishwa: 01/07/2022
Swali: Nikisikia Qur-aan kwenye redio na msomaji akapitia Aayah ya sujudu nisujudu wakati yeye anaendelea na kisomo?
Jibu: Tutatendea kazi Sunnah na hivyo tusujudu. Yapo maoni mengine kinyume na hivo. Sioni wajihi wake.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 42
Imechapishwa: 01/07/2022
https://firqatunnajia.com/sujuud-ya-kisomo-kwenye-redio/