Swali: Kumdhukuru Allaah kwa Subha?
Jibu: Hapana vibaya. Hata hivyo bora ni kufanya hivo kwa vidole. Lakini ni sawa pia akimtaja Allaah kwa kokoto, Subha, mbegu na vyenginevyo. Yamefanywa na baadhi ya Salaf na baadhi ya Maswahabah wa kike. Hata hivyo bora zaidi ni kwa vidole. Ndivo alivofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhesabu kwa vidole ndio bora.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23044/ما-حكم-التسبيح-بالمسبحة
- Imechapishwa: 21/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)