Swali: Hadiyth ya Ibn ´Umar wakati alipomuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) nyumbani kwa Hafswah akikidhi haja yake hali ya kuelekea Qiblah inafasiriwa kuwa ni jambo maalum kwake?
Jibu: Hapana, si maalum kwake. Hadiyth inafahamisha kuwa sio haramu kukidhi haja kwa kuelekea Qiblah ikiwa ni ndani ya nyumba. Hapana vibaya akielekea Ka´bah au akiipa mgongo muda wa kuwa yuko ndani ya nyumba. Kilichoharamishwa [ni kuielekea Ka´bah] mtu akiwa sehemu ya wazi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23042/حكم-قضاء-الحاجة-مستدبر-الكعبة-في-البنيان
- Imechapishwa: 21/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)