Swali: Je, bora ni kusoma Adhkaar zilizopokelewa za asubuhi au kusoma Qur-aan?
Jibu: Bora baada ya kutoa salamu ni yale aliyobainisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ndio Sunnah yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Swalah inapomalizika basi imamu na maamuma waseme:
أستغفر الله
“Allaah nisamehe.”
Mara tatu.
واللهم أنت السلام ومنك السلام تباركت يا ذا الجلال والإكرام
“Ee Allaah! Wewe ndiye as-Salaam, amani inatoka Kwako, umebarikika, Ee Mwenye utukufu na ukarimu.”
Kisha baada ya hapo wasome zile Adhkaar zilizowekwa katika Shari´ah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23041/هل-الافضل-بعد-الفجر-الذكر-ام-التلاوة
- Imechapishwa: 21/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)