Alikuwa akiitwa Abu Zakariyyah Yahyaa bin ´Awn bin Yuusuf al-Khuzaa´iy al-Qayrawaaniy al-Maalikiy. Baba yake alikuwa ni ´Awn bin Yuusuf ambaye alikuwa ni mwanachuoni mkubwa wa Maalikiyyah.
Moja katika maneno yake ni:
“Viumbe wote ni maadui wa watu. Watu wote ni maadui wa waislamu. Watu wote ni maadui wa Ahl-us-Sunnah.”
Baadhi ya wanachuoni wamesema:
“Alikuwa ni mkali kwa Ahl-ul-Bid´ah na alikuwa ni mwenye kushikamana na Sunnah.”
Abu Zakariyyah amezaliwa 211 na kufariki 298.
- Muhusika: Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas Aal ´Abdil-Kariym
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Taariykh Tadwiyn-il-´Aqiydah as-Salafiyyah, uk. 72
- Imechapishwa: 06/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)