al-Haakim amesema: Abu Bakr Muhammad bin Ja´far ametukhanarisha: Nimemsikia Ibn Khuzaymah bli akiulizwa:
”Ni vipi ulipata elimu?” Akajibu: ”Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Maji ya zamzam ni kwa kile ambacho mtu amekunywa kwa ajili yake.”[1]
Wakati nilipoyanywa nilimuomba Allaah elimu yenye manufaa.
[1] Ahmad (3/357) na Ibn Mâdjah (3062). al-Albaaniy amesema:
”Hadiyth ni Swahiyh, kama ilivyosemwa na maimamu wengi. Nimetaja na kuzungumzia njia zake katika ”Irwaa’-ul-Ghaliyl” (1123) ambapo moja wapo iko katika ”as-Swahiyhah” (883).” (Manaasik-ul-Hajj wal-´Umrah)
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/370)
- Imechapishwa: 17/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)