Swali: Umetaja kwamba Khawaarij hawaonelei kufaa adhabu ya kupiga mawe. Licha ya hivo tunawaona Khawaarij wa leo wakiwapiga mawe wazinzi. Je, wanatofautiana na wale wa kale?
Jibu: Ni wepi Khawaarij hii leo? Hawa ni wanaeneza maharibifu ardhini. Sio Khawaarij – hawa ni duni zaidi kuliko Khawaarij.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
- Imechapishwa: 15/08/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)