Muhammad bin Abiy Haatim amesema: Nimemsikia al-Husayn bin Muhammad as-Samarqandiy akisema:
“Katika sifa zote Muhammad bin Ismaa´iyl alikuwa akisifika kwa sifa tatu: Alikuwa ni mwenye maneno machache, alikuwa si mwenye tamaa juu ya yale yaliyoko kwa watu na alikuwa si mwenye kujishughulisha na mambo ya watu. Kujishughulisha kwake kote kulikuwa katika elimu.”
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (12/448)
- Imechapishwa: 21/11/2020
Muhammad bin Abiy Haatim amesema: Nimemsikia al-Husayn bin Muhammad as-Samarqandiy akisema:
“Katika sifa zote Muhammad bin Ismaa´iyl alikuwa akisifika kwa sifa tatu: Alikuwa ni mwenye maneno machache, alikuwa si mwenye tamaa juu ya yale yaliyoko kwa watu na alikuwa si mwenye kujishughulisha na mambo ya watu. Kujishughulisha kwake kote kulikuwa katika elimu.”
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (12/448)
Imechapishwa: 21/11/2020
https://firqatunnajia.com/sifa-tatu-za-kipekee-kwa-al-bukhaariy/