Swali: Muislamu amezini katika nchi ya kikafiri. Je, inamtosha kutubia au analazimika kuwaomba nduguze waislamu wamtekelezee adhabu ya kidini?
Jibu: Hakuna anayetekeleza adhabu za kidini isipokuwa mtawala wa waislamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
- Imechapishwa: 27/07/2024
Swali: Muislamu amezini katika nchi ya kikafiri. Je, inamtosha kutubia au analazimika kuwaomba nduguze waislamu wamtekelezee adhabu ya kidini?
Jibu: Hakuna anayetekeleza adhabu za kidini isipokuwa mtawala wa waislamu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
Imechapishwa: 27/07/2024
https://firqatunnajia.com/si-jambo-linalofanywa-na-ndugu-wa-kiislamu/