Swali: Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu kuweka shahidi wakati wa kumrejea mke. Je, inasemwa kuwa ni wajibu au inapendeza?
Jibu: Inapendeza. Ni kama mfano wa Aayah:
وَأَشْهِدُوا إِذَا تَبَايَعْتُمْ
”Lakini shuhudisheni mnapouziana.”[1]
Hili sio lazima. Ni kwa ajili ya mwongozo tu.
[1] 02:282
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 26/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)