Shahidi wakati wa kumrejea mke

Swali: Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu kuweka shahidi wakati wa kumrejea mke. Je, inasemwa kuwa ni wajibu au inapendeza?

Jibu: Inapendeza. Ni kama mfano wa Aayah:

وَأَشْهِدُوا إِذَا تَبَايَعْتُمْ

”Lakini shuhudisheni mnapouziana.”[1]

Hili sio lazima. Ni kwa ajili ya mwongozo tu.

[1] 02:282

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
  • Imechapishwa: 26/05/2023