Swali: Mwanaume kuchanganyika na mke wake wa talaka rejea au kumbusu kunazingatiwa ni kumrejea au ni lazima amwingilie?

Jibu: Kunahesabika ni kumrejea. Akimbusu au akafanya naye kitendo kisichoweza kufanya mwingine isipokuwa mume tu kwa mkewe, huku ni kumrejea.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
  • Imechapishwa: 26/05/2023