Swali: Kuuza silaha kipindi cha fitina ni jambo limekatazwa. Je, pia itakuwa haramu ikiwa mtawala atakataza biashara ya silaha maalum katika kipindi kisichokuwa cha fitina?
Jibu: Ndio. Ni lazima kumtii mtawala katika yale mambo yasiyokuwa ya maasi. Haijuzu kumuasi. Mtawala hakatazi kitu isipokuwa ni kwa ajili ya manufaa kwa waislamu na kwa jamii.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 13/04/2021
Swali: Kuuza silaha kipindi cha fitina ni jambo limekatazwa. Je, pia itakuwa haramu ikiwa mtawala atakataza biashara ya silaha maalum katika kipindi kisichokuwa cha fitina?
Jibu: Ndio. Ni lazima kumtii mtawala katika yale mambo yasiyokuwa ya maasi. Haijuzu kumuasi. Mtawala hakatazi kitu isipokuwa ni kwa ajili ya manufaa kwa waislamu na kwa jamii.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 13/04/2021
https://firqatunnajia.com/serikali-imepiga-marufuku-biashara-ya-silaha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)