Swali: Kuhusu mwanamke kusafiri pasi na Mahram, imepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba asisafiri mwendo wa mchana mmoja na usiku wake, mwendo wa siku mbili na mwendo wa siku tatu bila Mahram. Leo wakati wa safari umekuwa mfupi. Je, yanavuliwa?
Jibu: Kinachozingatiwa sio muda. Kinachozingatiwa ni ule umbali. Kinachozingatiwa ni ule umbali na sio muda hata kama safari itachukua saa moja. Hicho sio kinachozingatiwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Swali: Kuhusu mwanamke kusafiri pasi na Mahram, imepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba asisafiri mwendo wa mchana mmoja na usiku wake, mwendo wa siku mbili na mwendo wa siku tatu bila Mahram. Leo wakati wa safari umekuwa mfupi. Je, yanavuliwa?
Jibu: Kinachozingatiwa sio muda. Kinachozingatiwa ni ule umbali. Kinachozingatiwa ni ule umbali na sio muda hata kama safari itachukua saa moja. Hicho sio kinachozingatiwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
Imechapishwa: 13/08/2017
https://firqatunnajia.com/safari-ya-mwanamke-ya-mwendokasi-leo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)