Swali: Baadhi ya wanachuoni wanasema kuwa madhehebu mane yote yanajuzisha biashara ya kuuza paka na fatwa za wanachuoni wa sasa zinaharamisha hilo. Ni ipi sahihi katika masuala haya?
Jibu: Sahihi ni kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza biashara ya paka. Kwa hivyo haijuzu kuuza paka. Haijuzu kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Swali: Baadhi ya wanachuoni wanasema kuwa madhehebu mane yote yanajuzisha biashara ya kuuza paka na fatwa za wanachuoni wa sasa zinaharamisha hilo. Ni ipi sahihi katika masuala haya?
Jibu: Sahihi ni kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza biashara ya paka. Kwa hivyo haijuzu kuuza paka. Haijuzu kufanya hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
Imechapishwa: 13/08/2017
https://firqatunnajia.com/biashara-ya-paka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)