Swali: Nasikiliza Qur-aan kwenye redio na TV. Je, inajuzu kuizima katikati ya Aayah au ni lazima niizime baada ya Aayah kwisha?
Jibu: Bora ni kuzima baada ya Aayah kumalizika. Ndio bora zaidi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Swali: Nasikiliza Qur-aan kwenye redio na TV. Je, inajuzu kuizima katikati ya Aayah au ni lazima niizime baada ya Aayah kwisha?
Jibu: Bora ni kuzima baada ya Aayah kumalizika. Ndio bora zaidi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
Imechapishwa: 13/08/2017
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-uzime-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)