Swali: Ni ipi hukumu ya wanawake kuyatembelea makaburi? Kusemwe nini kuhusu kitendo cha ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ya kwamba alitembelea kaburi la kaka yake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi sana. Upokezi mmoja umetaja tu ya kwamba amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi. Kwa hivyo haijuzu kwa yeyote, si ´Aaisha wala mwengineo. Lakini huenda Hadiyth haikumfikia (Radhiya Allaahu ´anhaa).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket