Swali: Shangazi yangu alisafika katika Ramadhaan kabla ya alfajiri kuingia ambapo akafunga siku hiyo. Aliposimama kuswali dhuhr akaona rangi ya umanjano/zambarau. Je, swawm yake ni sahihi?
Jibu: Ikiwa kusafika kulitokea kabla ya alfajiri kuingia halafu akafunga, basi swawm yake ni sahihi. Umanjano hauathiri kitu baada ya kusafika. ´Umm ´Atwiyyah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii maji ya uchafu-uchafu na umanjano kuwa ni kitu baada ya kusafika.”[1]
[1] Abu Daawuud (307).
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/158)
- Imechapishwa: 04/06/2017
Swali: Shangazi yangu alisafika katika Ramadhaan kabla ya alfajiri kuingia ambapo akafunga siku hiyo. Aliposimama kuswali dhuhr akaona rangi ya umanjano/zambarau. Je, swawm yake ni sahihi?
Jibu: Ikiwa kusafika kulitokea kabla ya alfajiri kuingia halafu akafunga, basi swawm yake ni sahihi. Umanjano hauathiri kitu baada ya kusafika. ´Umm ´Atwiyyah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii maji ya uchafu-uchafu na umanjano kuwa ni kitu baada ya kusafika.”[1]
[1] Abu Daawuud (307).
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/158)
Imechapishwa: 04/06/2017
https://firqatunnajia.com/rangi-ya-umanjano-baada-ya-kutoka-katika-hedhi-inaathiri-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)