Swali: Je, bora mtu aswali Rak´ah nne kabla ya Dhuhr au Rak´ah mbili?
Jibu: Rak´ah nne kabla ya Dhuhr ambazo ni Raatibah. Hivi ndio bora na ndio kamilifu zaidi. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa haachi Rak´ah nne kabla ya Dhuhr.”
Swali: Vipi ikiwa wakati fulani anaswali Rak´ah mbili?
Jibu: Hapana vibaya. Hata hivyo Rak´ah nne ndio bora zaidi. Dumu kuswali Rak´ah nne.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22542/ما-الافضل-في-عدد-ركعات-الراتبة-قبل-الظهر
- Imechapishwa: 04/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)