Swali: Je, Qur-aan ina [maana ya] uinje na ya undani? Ni ipi hukumu ya yule mwenye kuamini hilo?
Jibu: Haya ni maneno ya Baatwiniyyah. Wao ndio wanasema kuwa Qur-aan ina [maana yake ya] undani wenye kutofautiana na uinje wake. Uinje wa Qur-aan hautofautiani na undani wake. Kamwe! Qur-aan ni naneno ya Mola wa walimwengu. Uinje wake hautofautiani na undani wake na kinyume chake.
Baatwiniyyah ndio ambao wanasema maneno haya. Wanasema kuwa uinje wa Qur-aan hautumiwi kama dalili. Dalili inatumiwa kwa undani wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (54) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-11-03.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Je, Qur-aan ina [maana ya] uinje na ya undani? Ni ipi hukumu ya yule mwenye kuamini hilo?
Jibu: Haya ni maneno ya Baatwiniyyah. Wao ndio wanasema kuwa Qur-aan ina [maana yake ya] undani wenye kutofautiana na uinje wake. Uinje wa Qur-aan hautofautiani na undani wake. Kamwe! Qur-aan ni naneno ya Mola wa walimwengu. Uinje wake hautofautiani na undani wake na kinyume chake.
Baatwiniyyah ndio ambao wanasema maneno haya. Wanasema kuwa uinje wa Qur-aan hautumiwi kama dalili. Dalili inatumiwa kwa undani wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (54) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-11-03.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/qur-aan-ina-maana-ya-dhahiri-na-iliyojificha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)