Swali: Nimesikia baadhi ya wanachuoni wetu wakisema kuwa katika Hadiyth kuna khabari yenye kusema “Qiyaamah kitakuwa baada ya karne kumi na nne na kitu”. Je, maelezo haya ni sahihi? Kwa vile kumeshapita karne kumi na nne na hakukupitika kitu.
Jibu: Hakuna anayejua kwa kulenga wakati wa Qiyaamah kitaposimama isipokuwa Allaah (Subhaanah). Hakuna katika Hadiyth Swahiyh yoyote chenye kutolea dalili juu ya usahihi wa yale aliyoyasema yule uliyemnasibishia maneno hayo.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/120)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Nimesikia baadhi ya wanachuoni wetu wakisema kuwa katika Hadiyth kuna khabari yenye kusema “Qiyaamah kitakuwa baada ya karne kumi na nne na kitu”. Je, maelezo haya ni sahihi? Kwa vile kumeshapita karne kumi na nne na hakukupitika kitu.
Jibu: Hakuna anayejua kwa kulenga wakati wa Qiyaamah kitaposimama isipokuwa Allaah (Subhaanah). Hakuna katika Hadiyth Swahiyh yoyote chenye kutolea dalili juu ya usahihi wa yale aliyoyasema yule uliyemnasibishia maneno hayo.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/120)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/qiyaamah-kitasimama-baada-ya-karne-kumi-na-nne/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)