Swali: Je, inajuzu kwa wanaume kuimba Anaashiyd za Kiislamu? Je, inajuzu kuwapigia dufu wanapoimba? Je, inajuzu kuimba Anaashiyd mbali na sikukuu na sherehe?
Jibu: Anaashiyd za Kiislamu ni Anaashiyd zilizozushwa. Zimeshabihiana na waliyozusha Suufiyyah. Kwa hivyo inatakiwa kwa mtu kujitenga nazo mbali na badala yake afuatilie mawaidha ya Qur-aan na Sunnah. Isipokuwa tu labda katika vita ili ziweze kusaidia kuleta motisha na jihaad katika njia ya Allaah (Ta´ala). Ni jambo zuri. Anaashiyd zikiambatana na dufu basi zinakuwa mbali zaidi na usawa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ash-Shaykh Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn (01/134-135)
- Imechapishwa: 05/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)