Picha zilizohifadhiwa kwa ajili ya kumbukumbu

Swali: Ni ipi hukumu ya kuhifadhi picha kwa ajili ya kumbukumbu?

Jibu: Ni haramu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Hakika Malaika hawaingii katika nyumba ilio na picha.”[1]

Hii ni dalili inayofahamisha uharamu wa kuhifadhi picha nyumbani.

[1] al-Bukhaariy, Muslim, Abu Bakr ash-Shaafiy´katika ”al-Fawaa-id” na ziada ni yake.

  • Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/343)
  • Imechapishwa: 02/05/2026