Swali: Kundi la kina dada wamekubaliana juu ya kuhifadhi Qur-aan. Wakachanga pesa. Yule ataakayehifadhi kiwango maalum kwa muda maalum basi ndiye atakayechukua pesa hizi. Kwa ajili ya kushaji´isha juu ya kuhifadhi. Je, kitendo hichi kinakubalika katika Shari´ah?
Jibu: Hakuna neno. Huku ni kupeana moyo juu ya kuhifadhi Qur-aan.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 07/07/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)