Swali: Je, inajuzu kwangu kuwapa Swadaqah wenye kuhitajia ikiwa pato langu nalipata kwa njia ya haramu?
Jibu: Hii sio Swadaqah. Huku ni kujinasua. Jinasue nazo kama mali iliyokupotea isiyokuwa na mmiliki na hawezi kuipata. Zinapewa wenye kuhitajia au michango ya mambo ya kheri ya kijumla. Hata hivyo sio kwa njia ya Swadaqah. Ni kwa njia ya kujinasua.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340106.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Je, inajuzu kwangu kuwapa Swadaqah wenye kuhitajia ikiwa pato langu nalipata kwa njia ya haramu?
Jibu: Hii sio Swadaqah. Huku ni kujinasua. Jinasue nazo kama mali iliyokupotea isiyokuwa na mmiliki na hawezi kuipata. Zinapewa wenye kuhitajia au michango ya mambo ya kheri ya kijumla. Hata hivyo sio kwa njia ya Swadaqah. Ni kwa njia ya kujinasua.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340106.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/pato-la-haramu-kwa-wahitajiaji/