ar-Raajihiy: Katika Hadiyth inayosema:
“Akafanya kwenye Marwah kama ulivyofanya katika Swafaa.”
Je, maana yake ni kwamba anasema:
إِنَّ الصَّفَا وَالْمَرْوَةَ مِن شَعَآئِرِ اللّهِ
“Hakika vilima vya Swafaa na Marwah ni katika alama za Allaah.”[1]
Jibu: Hapana, alifanya juu ya Marwah kama alivyofanya katika Swafaa katika du´aa, Dhikr na kunyanyua mikono yake. Vinginevyo mtu anasoma Aayah hiyo pale anapoanza peke yake.
[1] 02:158
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24997/هل-يشرع-على-المروة-مثل-ما-يفعل-في-الصفا
- Imechapishwa: 24/01/2025
ar-Raajihiy: Katika Hadiyth inayosema:
“Akafanya kwenye Marwah kama ulivyofanya katika Swafaa.”
Je, maana yake ni kwamba anasema:
إِنَّ الصَّفَا وَالْمَرْوَةَ مِن شَعَآئِرِ اللّهِ
“Hakika vilima vya Swafaa na Marwah ni katika alama za Allaah.”[1]
Jibu: Hapana, alifanya juu ya Marwah kama alivyofanya katika Swafaa katika du´aa, Dhikr na kunyanyua mikono yake. Vinginevyo mtu anasoma Aayah hiyo pale anapoanza peke yake.
[1] 02:158
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24997/هل-يشرع-على-المروة-مثل-ما-يفعل-في-الصفا
Imechapishwa: 24/01/2025
https://firqatunnajia.com/pale-unapoanza-kutembea-peke-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)