Swali: Je, ni lazima kupanda kwenye miamba?
Jibu: Hili ni Sunnah, lakini kilicho wajibu ni kutembea kati ya Swafaa na Marwah. Hata hivyo kupanda ni Sunnah.
Swali: Je, apande kwenye mwamba wenyewe au sehemu ya juu iliyotandikwa marumaru?
Jibu: Jambo linalojulikana ni sehemu ambayo watu wanasimama sasa.
Swali: Ikiwa hakupanda kabisa?
Jibu: Ikiwa alizunguka kati ya Swafaa na Marwah, hiyo inatosha. Kupanda ni Sunnah tu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24996/هل-يلزم-الصعود-على-الصخور-في-السعي
- Imechapishwa: 24/01/2025
Swali: Je, ni lazima kupanda kwenye miamba?
Jibu: Hili ni Sunnah, lakini kilicho wajibu ni kutembea kati ya Swafaa na Marwah. Hata hivyo kupanda ni Sunnah.
Swali: Je, apande kwenye mwamba wenyewe au sehemu ya juu iliyotandikwa marumaru?
Jibu: Jambo linalojulikana ni sehemu ambayo watu wanasimama sasa.
Swali: Ikiwa hakupanda kabisa?
Jibu: Ikiwa alizunguka kati ya Swafaa na Marwah, hiyo inatosha. Kupanda ni Sunnah tu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24996/هل-يلزم-الصعود-على-الصخور-في-السعي
Imechapishwa: 24/01/2025
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kupanda-kwenye-miamba-wakati-wa-say/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)