Pale ambapo warithi wanataka mirathi yao

Swali: Je, inafaa kuchelewesha kugawanya mirathi mpaka wakafa baadhi ya warithi?

Jibu: Haijuzu kuchelewesha kugawanya mirathi. Wenye haki ya kurithi wakiomba haki yao hapo haitojuzu kuichelewesha muda wa kuwa hakuna udhuru unaokubalika kwa mujibu wa Shari´ah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
  • Imechapishwa: 08/09/2023