Hakuna njia zaidi ya leasing

Swali: Kuna mtu ana haja kubwa ya gari. Hakuna njia nyingine ya kuipata isipokuwa kupitia leasing. Je, inafaa kwake?

Jibu: Hapana. Haijuzu. Asubiri mpaka pale ambapo Allaah atamsahilishia kununua gari. Vinginevyo achukue teksi. Wakati Allaah atamsahilishia kununua gari atanunua.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
  • Imechapishwa: 08/09/2023