Swali: Masikini huyu ambaye watu hawamuoni endapo atasubiri wakati wa dharurah basi anadhurika na pengine akafariki.
Jibu: Hapana, anatakiwa kuomba.
Swali: Ni lazima kwake kufanya hivo?
Jibu: Ni lazima kwake kuikoa nafsi yake. Wakati haja inapelekea kufanya hivo kwa kuchelea kifo basi itamlazimu. Aidha ni lazima kwa ambaye anajua hali yake kumuokoa na kumpa.
Swali: Nakusudia endapo ataona kuwa inapendeza kwake kusubiri – itakuwa ni sahihi kufanya hivo au analazimika kuomba?
Jibu: Hapana kama yuko na kitu kidogo kinachoweza kukidhi mahitaji yake. Vinginevyo analazimika kuomba ili kuiokoa nafsi yake na walioko chini yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22267/حكم-المسالة-للمسكين-الذي-لا-يفطن-له
- Imechapishwa: 21/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)