Swali: Je, anaswaliwa mtu ambaye amekufa akiwa na deni?

Jibu: Aswaliwe na alipiwe deni lake.

Swali: Alikuwa na uwezo lakini hakutekeleza…

Jibu: Hata kama. Anatakiwa kuswaliwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliacha kuwaswalia pale mwanzoni [mwa Uislamu] kasha baadaye akasema:

”Mswalieni mwenzenu.”

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22268/هل-يصلى-على-من-توفي-وعليه-دين
  • Imechapishwa: 21/01/2023