Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Linapoanguka tonge la mmoja wenu, basi aliondoshe uchafu na alile na wala asimwachie shaytwaan.”[1]
Amri hii ni kwa njia ya ulazima?
Jibu: Huu ndio msingi katika amri. Lakini kinachotambulika kwa wanazuoni ni kwamba inapendeza. Ni Sunnah. Vinginevyo msingi katika amri ni ulazima.
[1] at-Tirmidhiy (1862).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23241/هل-الامر-للوجوب-في-ولا-يدعها-للشيطان
- Imechapishwa: 07/12/2023
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Linapoanguka tonge la mmoja wenu, basi aliondoshe uchafu na alile na wala asimwachie shaytwaan.”[1]
Amri hii ni kwa njia ya ulazima?
Jibu: Huu ndio msingi katika amri. Lakini kinachotambulika kwa wanazuoni ni kwamba inapendeza. Ni Sunnah. Vinginevyo msingi katika amri ni ulazima.
[1] at-Tirmidhiy (1862).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23241/هل-الامر-للوجوب-في-ولا-يدعها-للشيطان
Imechapishwa: 07/12/2023
https://firqatunnajia.com/okota-chakula-kinachodondoka-ule/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
