Swali: Vipi inatakiwa kuwa msimamo wa mtu kwa wanachuoni wanapokosea?
Jibu. Wazindue juu ya kosa lao. Lakini nyinyi mmejuaje kuwa wamekosea? Nyinyi mmejuaje kuwa wamekosea ilihali ni wanachuoni wa Sunnah?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20-%2024-10-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Vipi inatakiwa kuwa msimamo wa mtu kwa wanachuoni wanapokosea?
Jibu. Wazindue juu ya kosa lao. Lakini nyinyi mmejuaje kuwa wamekosea? Nyinyi mmejuaje kuwa wamekosea ilihali ni wanachuoni wa Sunnah?
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20-%2024-10-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/nyinyi-mmejuaje-kuwa-wamekosea/