Swali: Mara nyingi huapa kwa Allaah kwamba wageni wetu watakula kwetu au kwamba si wao watakaolipa. Je, kuna kinachonilazimu?
Jibu: Wanazuoni wengi wanaona kwamba ukivunja kiapo chako, basi inakulazimu [kutoa kafara]. Hata hivyo Shaykh-ul-Islaam haoni hivo, kwa sababu anasema kuwa lengo ni kumkirimu, na amekwishamkirimu kwa kusema hivo. Anachotaka ni kumkirimu na ameshafanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 07/01/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)