Swali: Je, nia ni sharti ya kujuzu kukusanya? Inatokea mara nyingi wanaswali Maghrib pasi na nia na baada ya swalah ya Maghrib watu msikitini wanashauriana na hivyo wanaona kukusanya kisha wanaswali ´Ishaa?
Jibu: Nia sio sharti wakati wa ufunguzi wa swalah ya mwanzo. Bali inafaa kukusanya baada ya kumaliza ile ya kwanza kukipatikana sharti yake ambayo ni khofu, ugonjwa au mvua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/425)
- Imechapishwa: 08/10/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket