Swali: Ni ipi hukumu ya kutamka nia katika swalah na katika wudhuu´?
Jibu: Hukumu ya hilo ni kwamba ni Bid´ah. Kwa sababu haikunakiliwa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala kutoka kwa Maswahabah zake. Kwa hiyo ni lazima kuliacha. Nia mahali pake ni moyoni. Kwa hivyo hakuna haja kabisa ya kutamka nia kwa sauti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/424)
- Imechapishwa: 08/10/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kutamka nia katika swalah na katika wudhuu´?
Jibu: Hukumu ya hilo ni kwamba ni Bid´ah. Kwa sababu haikunakiliwa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala kutoka kwa Maswahabah zake. Kwa hiyo ni lazima kuliacha. Nia mahali pake ni moyoni. Kwa hivyo hakuna haja kabisa ya kutamka nia kwa sauti.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/424)
Imechapishwa: 08/10/2021
https://firqatunnajia.com/hakuna-haja-ya-kutamka-nia-kwa-sauti-wakati-wa-kutawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)