Swali: Swalah ya jeneza ni wajibu iswaliwe kwa mkusanyiko kama zile swalah tano?
Jibu: Sio wajibu kuswali kwa pamoja wakati wa kumswalia maiti. Lakini kama ilivyotangulia ndio bora zaidi. Kadri jinsi idadi ya waswalaji ni kubwa ndio jinsi matumaini ya kukubaliwa msamaha yanakuwa makubwa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/118)
- Imechapishwa: 07/09/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket