Swali: Swalah ya jeneza ni wajibu iswaliwe kwa mkusanyiko kama zile swalah tano?
Jibu: Sio wajibu kuswali kwa pamoja wakati wa kumswalia maiti. Lakini kama ilivyotangulia ndio bora zaidi. Kadri jinsi idadi ya waswalaji ni kubwa ndio jinsi matumaini ya kukubaliwa msamaha yanakuwa makubwa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/118)
- Imechapishwa: 07/09/2021
Swali: Swalah ya jeneza ni wajibu iswaliwe kwa mkusanyiko kama zile swalah tano?
Jibu: Sio wajibu kuswali kwa pamoja wakati wa kumswalia maiti. Lakini kama ilivyotangulia ndio bora zaidi. Kadri jinsi idadi ya waswalaji ni kubwa ndio jinsi matumaini ya kukubaliwa msamaha yanakuwa makubwa.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/118)
Imechapishwa: 07/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kumswalia-maiti-kwa-pamoja/