Swali: Swalah ya jeneza ni wajibu iswaliwe kwa mkusanyiko kama zile swalah tano?
Jibu: Sio wajibu kuswali kwa pamoja wakati wa kumswalia maiti. Lakini kama ilivyotangulia ndio bora zaidi. Kadri jinsi idadi ya waswalaji ni kubwa ndio jinsi matumaini ya kukubaliwa msamaha yanakuwa makubwa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/118)
- Imechapishwa: 07/09/2021
Swali: Swalah ya jeneza ni wajibu iswaliwe kwa mkusanyiko kama zile swalah tano?
Jibu: Sio wajibu kuswali kwa pamoja wakati wa kumswalia maiti. Lakini kama ilivyotangulia ndio bora zaidi. Kadri jinsi idadi ya waswalaji ni kubwa ndio jinsi matumaini ya kukubaliwa msamaha yanakuwa makubwa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/118)
Imechapishwa: 07/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kumswalia-maiti-kwa-pamoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)