Swali: Kuna walinganizi ambao wanaeneza makosa ya watawala na wanasambaza kwa watu. Je wanasihiwe jumla ya watu kusikiliza kanda zao na kusoma vitabu vyao?
Jibu: Kanda zenye upotofu na kueneza fitina haijuzu kuieneza bali ni wajibu kuiharibu. Ni wajibu kuiharibu kwa kuwa inaeneza fitina na shari.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.subulsalam.com/site/audios/alfozan/divers/130.Asalafiya7aqi qatoha-…
- Imechapishwa: 09/04/2022
Swali: Kuna walinganizi ambao wanaeneza makosa ya watawala na wanasambaza kwa watu. Je wanasihiwe jumla ya watu kusikiliza kanda zao na kusoma vitabu vyao?
Jibu: Kanda zenye upotofu na kueneza fitina haijuzu kuieneza bali ni wajibu kuiharibu. Ni wajibu kuiharibu kwa kuwa inaeneza fitina na shari.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.subulsalam.com/site/audios/alfozan/divers/130.Asalafiya7aqi qatoha-…
Imechapishwa: 09/04/2022
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kuharibu-kanda-zenye-kusambaza-makosa-ya-viongozi/