Swali: Kuna walinganizi ambao wanaeneza makosa ya watawala na wanasambaza kwa watu. Je wanasihiwe jumla ya watu kusikiliza kanda zao na kusoma vitabu vyao?
Jibu: Kanda zenye upotofu na kueneza fitina haijuzu kuieneza bali ni wajibu kuiharibu. Ni wajibu kuiharibu kwa kuwa inaeneza fitina na shari.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.subulsalam.com/site/audios/alfozan/divers/130.Asalafiya7aqi qatoha-…
- Imechapishwa: 09/04/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)