Swali: Siku hizi tunasikia kanuni ikitajwa na wanafunzi nayo ni kuwa ikiwa humfanyii Tabdiy’ mtu binafsi wewe unachuja katika mfumo na wanawatahadharisha ndugu zao ambao hawafanyi hivyo.
Jibu: Sisi hatumfanyii Tabdiy’ ila mwenye kufanya Bid´ah kwa kukusudia. Akikusudia kufanya Bid´ah tunamfanyia Tabdi´ sawa akiwa ni mtu binafsi au kinyume chake. Lakini mwenye kufanya Bid´ah akidhani kuwa ndo haki kwa kutokujua , abainishiwe haki na Sunnah. Huu ndio mfumo wa Salaf.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.subulsalam.com/site/audios/alfozan/divers/130.Asalafiya7aqi qatoha-…
- Imechapishwa: 09/04/2022
Swali: Siku hizi tunasikia kanuni ikitajwa na wanafunzi nayo ni kuwa ikiwa humfanyii Tabdiy’ mtu binafsi wewe unachuja katika mfumo na wanawatahadharisha ndugu zao ambao hawafanyi hivyo.
Jibu: Sisi hatumfanyii Tabdiy’ ila mwenye kufanya Bid´ah kwa kukusudia. Akikusudia kufanya Bid´ah tunamfanyia Tabdi´ sawa akiwa ni mtu binafsi au kinyume chake. Lakini mwenye kufanya Bid´ah akidhani kuwa ndo haki kwa kutokujua , abainishiwe haki na Sunnah. Huu ndio mfumo wa Salaf.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.subulsalam.com/site/audios/alfozan/divers/130.Asalafiya7aqi qatoha-…
Imechapishwa: 09/04/2022
https://firqatunnajia.com/hatumfanyii-tabdiy-yeyote-ila-anayetumbukia-katika-bidah-kwa-kukusudia/