Swali: Je, kukata kucha ni kwa wanaume pekee?
Jibu: Hapana, ni kwa wanaume na wanawake wote. Sunnah ya kukata kucha, kung’oa nywele za kwapa na kunyoa nywele za sehemu ya siri ni ya kila mtu, kwa wanaume na wanawake wote wawili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24716/هل-تقليم-الاظفار-خاص-بالرجال
- Imechapishwa: 30/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)