Swali: Je, kukata kucha ni kwa wanaume pekee?
Jibu: Hapana, ni kwa wanaume na wanawake wote. Sunnah ya kukata kucha, kung’oa nywele za kwapa na kunyoa nywele za sehemu ya siri ni ya kila mtu, kwa wanaume na wanawake wote wawili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24716/هل-تقليم-الاظفار-خاص-بالرجال
- Imechapishwa: 30/11/2024
Swali: Je, kukata kucha ni kwa wanaume pekee?
Jibu: Hapana, ni kwa wanaume na wanawake wote. Sunnah ya kukata kucha, kung’oa nywele za kwapa na kunyoa nywele za sehemu ya siri ni ya kila mtu, kwa wanaume na wanawake wote wawili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24716/هل-تقليم-الاظفار-خاص-بالرجال
Imechapishwa: 30/11/2024
https://firqatunnajia.com/ni-sunnah-ya-wanaume-na-wanawake/