Swali: Baadhi ya watoa mawaidha wanasema kuwa faradhi hii ya Fajr ni yatima ambayo inamlalamikia Allaah kutokana na wachache ambao wanaiendea?
Jibu: Maneno haya hayana msingi. Ni wajibu kusema kwamba faradhi hii watu wengi ni wazito kwayo na wanashughulishwa na usingizi. Kwa hivyo ni wajibu kumcha Allaah na kutahadhari kujifananisha na wanafiki na mfano wa maneno kama hayo mazuri. Ama kusema kwamba inamlalamikia Allaah, kunaweza kukhofiwa kwamba ni kumsemea uwongo Allaah. Ni nani aliyekwambia maneno haya?
Swali: Akemewe?
Jibu: Bora ni kuyaacha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23720/حكم-مقولة-فرض-الفجر-يتيم-يشتكي-الى-الله
- Imechapishwa: 12/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)