Swali: Imeshurutishwa kukamilisha safu ya kwanza baada ya nyingine na kuziba mianya baina ya safu katika swalah ya jeneza?
Jibu: Safu katika swalah ya jeneza zinatakiwa kuwekwa sawa kama swalah zingine na zikamilishwe safu za kwanza baada ya zingine na yazibwe mianya baina ya safu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/110)
- Imechapishwa: 07/09/2021
Swali: Imeshurutishwa kukamilisha safu ya kwanza baada ya nyingine na kuziba mianya baina ya safu katika swalah ya jeneza?
Jibu: Safu katika swalah ya jeneza zinatakiwa kuwekwa sawa kama swalah zingine na zikamilishwe safu za kwanza baada ya zingine na yazibwe mianya baina ya safu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/110)
Imechapishwa: 07/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kusawazisha-na-kuziba-mianya-ya-safu-katika-swalah-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)