Swali: Katika msikiti wa Makkah kunatangazwa kumswalia maiti. Je, inajuzu kwa wanawake kuswali swalah hii pamoja na wanaume sawa ikiwa ni kwa maiti aliyeko pale au ambaye hayupo?
Jibu: Mwanamke ni kama mwanaume. Kukiletwa jeneza aliswalie na anapata ujira kama anaopata mwanaume. Dalili kuhusu hilo ni zenye kuenea na hazikuvua kitu. Wanahistoria wamesema kuwa waislamu walimswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo walianza wanaume kisha wanawake[1].
Kujengea juu ya hili hakuna ubaya. Bali ni katika mambo yanayotakikana pindi kutapoletwa jeneza. Ni sawa kwa wanawake kuswali pamoja na wanaume juu ya maiti huyu40.
[1] Tazama “Siyrat-un-Nabawiyyah” ya Ibn Hishaam (02/230) na Ibn Maajah (1627).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/113-114)
- Imechapishwa: 07/09/2021
Swali: Katika msikiti wa Makkah kunatangazwa kumswalia maiti. Je, inajuzu kwa wanawake kuswali swalah hii pamoja na wanaume sawa ikiwa ni kwa maiti aliyeko pale au ambaye hayupo?
Jibu: Mwanamke ni kama mwanaume. Kukiletwa jeneza aliswalie na anapata ujira kama anaopata mwanaume. Dalili kuhusu hilo ni zenye kuenea na hazikuvua kitu. Wanahistoria wamesema kuwa waislamu walimswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo walianza wanaume kisha wanawake[1].
Kujengea juu ya hili hakuna ubaya. Bali ni katika mambo yanayotakikana pindi kutapoletwa jeneza. Ni sawa kwa wanawake kuswali pamoja na wanaume juu ya maiti huyu40.
[1] Tazama “Siyrat-un-Nabawiyyah” ya Ibn Hishaam (02/230) na Ibn Maajah (1627).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/113-114)
Imechapishwa: 07/09/2021
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwa-wanawake-kuswali-pamoja-na-wanaume-swalah-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)