Ni lazima kusamehe au inapendeza tu?

Swali: Inapendeza kumsamehe mtu au ni kwa njia ya ulazima?

Jibu: Hapana, ni kwa njia ya kupendeza. Vinginevyo inafaa kwa mtu kuomba haki yake na alipize kisasi akiona kuna manufaa ya kufanya hivo.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22380/هل-العفو-واجب-ام-مندوب
  • Imechapishwa: 25/02/2023