Swali: Vipi kuoanisha kati ya mwenye kuona maovu akayakemea kwa njia ya kulipiza kisasi kwa ajili ya Allaah au ayakemee kwa hekima, ulaini na maneno mazuri?
Jibu: Ayakemee kwa hekima. Huku ni katika kukasirika kwa ajili ya Allaah:
ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ وَجَادِلْهُم بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ
“Lingania katika njia ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri na jadiliana nao kwa ambayo ni mazuri zaidi.”[1]
Asinyamaze. Lakini ikiwa haki yake ndio imekiukwa ni sawa akasamehe na kunyamaza.
[1] 16:125
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22384/كيف-يجمع-بين-الرفق-وبين-الانتقام-لله-تعالى
- Imechapishwa: 25/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)